Waroma 7:6
Waroma 7:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya sheria iliyoandikwa.
Shirikisha
Soma Waroma 7Waroma 7:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Bali sasa tumefunguliwa katika torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani, ya andiko.
Shirikisha
Soma Waroma 7