Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 7:3 - Linganisha Matoleo Yote

Waroma 7:3 BHN (Biblia Habari Njema)

Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na akiolewa na mwanamume mwingine, yeye si mzinzi.

Shirikisha
Waroma 7 BHN

Waroma 7:3 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Basi wakati awapo hai mumewe, kama akiwa na mume mwingine huitwa mzinzi. Ila mumewe akifa, amekuwa huru, hafungwi na sheria hiyo, hata yeye si mzinzi, ajapoolewa na mume mwingine.

Shirikisha
Waroma 7 SUV

Waroma 7:3 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Basi wakati mumewe awapo hai, kama akiwa na mume mwingine huitwa mzinzi. Ila mumewe akifa, amekuwa huru, hafungwi na sheria hiyo, hata yeye si mzinzi, ajapoolewa na mume mwingine.

Shirikisha
Waroma 7 SRUV

Waroma 7:3 NEN (Neno)

Hivyo basi, kama huyo mwanamke ataolewa na mwanaume mwingine wakati mumewe akiwa bado yuko hai, ataitwa mzinzi. Lakini kama mumewe akifa, mwanamke huyo hafungwi tena na sheria ya ndoa, naye akiolewa na mtu mwingine haitwi mzinzi.

Shirikisha
Waroma 7 NEN