Waroma 7:2 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 7:2 BHN (Biblia Habari Njema)
Mathalani: Mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuwa hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.
Shirikisha
Waroma 7 BHNWaroma 7:2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana mwanamke aliye na mume amefungwa na sheria kwa yule mume wakati anapokuwa yu hai; bali akifa yule mume, amefunguliwa ile sheria ya mume.
Shirikisha
Waroma 7 SUVWaroma 7:2 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana mwanamke aliye na mume amefungwa na sheria kwa yule mume wakati anapokuwa yu hai; bali yule mume akifa, amefunguliwa ile sheria ya mume.
Shirikisha
Waroma 7 SRUVWaroma 7:2 NEN (Neno)
Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa kwa mumewe wakati akiwa hai, lakini yule mume akifa, yule mwanamke amefunguliwa kutoka sheria ya ndoa.
Shirikisha
Waroma 7 NEN