Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 7:2 - Linganisha Matoleo Yote

Waroma 7:2 BHN (Biblia Habari Njema)

Mathalani: Mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuwa hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.

Shirikisha
Waroma 7 BHN

Waroma 7:2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Kwa maana mwanamke aliye na mume amefungwa na sheria kwa yule mume wakati anapokuwa yu hai; bali akifa yule mume, amefunguliwa ile sheria ya mume.

Shirikisha
Waroma 7 SUV

Waroma 7:2 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Kwa maana mwanamke aliye na mume amefungwa na sheria kwa yule mume wakati anapokuwa yu hai; bali yule mume akifa, amefunguliwa ile sheria ya mume.

Shirikisha
Waroma 7 SRUV

Waroma 7:2 NEN (Neno)

Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa kwa mumewe wakati akiwa hai, lakini yule mume akifa, yule mwanamke amefunguliwa kutoka sheria ya ndoa.

Shirikisha
Waroma 7 NEN