Waroma 6:8-9
Waroma 6:8-9 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, ikiwa tumekufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba tutaishi pia pamoja naye. Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka kwa wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena.
Shirikisha
Soma Waroma 6Waroma 6:8-9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini tukiwa tulikufa pamoja na Kristo, twaamini ya kuwa tutaishi pamoja naye; tukijua ya kuwa Kristo akiisha kufufuka katika wafu hafi tena, wala mauti haimtawali tena.
Shirikisha
Soma Waroma 6