Waroma 6:15
Waroma 6:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, tuseme nini? Je, tutende dhambi ati kwa sababu hatuko chini ya sheria bali chini ya neema? Hata kidogo!
Shirikisha
Soma Waroma 6Waroma 6:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ni nini basi? Tufanye dhambi kwa sababu hatuwi chini ya sheria bali chini ya neema? La hasha!
Shirikisha
Soma Waroma 6