Waroma 6:10
Waroma 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Hivyo, kwa kuwa alikufa – mara moja tu – dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi maisha yake katika umoja na Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 6Waroma 6:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana kwa kule kufa kwake, aliifia dhambi mara moja tu; lakini kwa kule kuishi kwake, amwishia Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 6