Waroma 5:10
Waroma 5:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake.
Shirikisha
Soma Waroma 5Waroma 5:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, tulipokuwa bado maadui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile sasa tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uhai wa Kristo.
Shirikisha
Soma Waroma 5Waroma 5:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, tulipokuwa bado maadui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile sasa tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uhai wa Kristo.
Shirikisha
Soma Waroma 5Waroma 5:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana ikiwa tulipokuwa adui tulipatanishwa na Mungu kwa mauti ya Mwana wake; zaidi sana baada ya kupatanishwa tutaokolewa katika uzima wake.
Shirikisha
Soma Waroma 5