Waroma 3:30 - Compare All Versions
Waroma 3:30 BHN (Biblia Habari Njema)
Mungu ni mmoja, naye atawafanya Wayahudi kuwa waadilifu kwa imani yao, na watu wa mataifa mengine pia kwa imani yao.
Shirikisha
Waroma 3 BHNWaroma 3:30 SRUV (Swahili Revised Union Version)
kama kwa kweli Mungu ni mmoja, atakayewahesabia haki wale waliotahiriwa katika imani, nao wale wasiotahiriwa atawahesabia haki kwa njia ya imani iyo hiyo.
Shirikisha
Waroma 3 SRUVWaroma 3:30 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kama kwa kweli Mungu ni mmoja, atakayewahesabia haki wale waliotahiriwa katika imani, nao wale wasiotahiriwa atawahesabia haki kwa njia ya imani iyo hiyo.
Shirikisha
Waroma 3 SUVWaroma 3:30 NEN (Neno)
Basi kwa kuwa kuna Mungu mmoja tu, atawahesabia haki wale waliotahiriwa kwa imani na wale wasiotahiriwa kwa imani hiyo hiyo.
Shirikisha
Waroma 3 NEN