Waroma 2:8
Waroma 2:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini wale wengine wenye ubinafsi, wenye kukataa mambo ya haki na kufuata uovu, wataangukiwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 2Waroma 2:8 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Lakini kwa wale wanaotafuta mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 2Waroma 2:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini wale wengine wenye ubinafsi, wenye kukataa mambo ya haki na kufuata uovu, wataangukiwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Shirikisha
Soma Waroma 2Waroma 2:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
na wale wenye fitina, wasioitii kweli, bali wakubalio dhuluma, watapata hasira na ghadhabu
Shirikisha
Soma Waroma 2