Waroma 2:16
Waroma 2:16 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na injili yangu, kwa Kristo Yesu.
Shirikisha
Soma Waroma 2Waroma 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo.
Shirikisha
Soma Waroma 2Waroma 2:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na Injili yangu, kwa Kristo Yesu.
Shirikisha
Soma Waroma 2