Waroma 13:2
Waroma 13:2 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe.
Shirikisha
Soma Waroma 13Waroma 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe.
Shirikisha
Soma Waroma 13Waroma 13:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.
Shirikisha
Soma Waroma 13