Waroma 10:8 - Compare All Versions
Waroma 10:8 BHN (Biblia Habari Njema)
Maandiko Matakatifu yasema hivi: “Ujumbe huo wa Mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako” nao ndio ile imani tunayoihubiri.
Shirikisha
Waroma 10 BHNWaroma 10:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Lakini yanenaje? Lile neno liko karibu nawe, katika kinywa chako, na katika moyo wako; yaani, ni lile neno la imani tulihubirilo.
Shirikisha
Waroma 10 SRUVWaroma 10:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini yanenaje? Lile neno li karibu nawe, katika kinywa chako, na katika moyo wako; yaani, ni lile neno la imani tulihubirilo.
Shirikisha
Waroma 10 SUVWaroma 10:8 NEN (Neno)
Lakini andiko lasemaje? “Lile neno liko karibu nawe, liko kinywani mwako na moyoni mwako,” yaani lile neno la imani tunalolihubiri.
Shirikisha
Waroma 10 NEN