Waroma 10:19 - Compare All Versions
Waroma 10:19 BHN (Biblia Habari Njema)
Tena nauliza: Je, yawezekana kwamba watu wa Israeli hawakufahamu? Mose mwenyewe ni wa kwanza kujibu: “Nitawafanyeni muwaonee wivu watu ambao si taifa; nitawafanyeni muwe na hasira juu ya taifa la watu wapumbavu.”
Shirikisha
Waroma 10 BHNWaroma 10:19 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Lakini nasema, Je! Waisraeli hawakufahamu? Kwanza Musa anena, Nitawatia wivu kwa watu ambao si taifa, Kwa taifa lisilo na fahamu nitawakasirisha.
Shirikisha
Waroma 10 SRUVWaroma 10:19 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini nasema, Je! Waisraeli hawakufahamu? Kwanza Musa anena, Nitawatia wivu kwa watu ambao si taifa, Kwa taifa lisilo na fahamu nitawaghadhibisha.
Shirikisha
Waroma 10 SUVWaroma 10:19 NEN (Neno)
Nami nauliza tena: Je, Waisraeli hawakuelewa? Kwanza, Musa asema, “Nitawafanya mwe na wivu kwa watu wale ambao si taifa. Nitawakasirisha kwa taifa lile lisilo na ufahamu.”
Shirikisha
Waroma 10 NEN