Waroma 10:13
Waroma 10:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.”
Shirikisha
Soma Waroma 10Waroma 10:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Shirikisha
Soma Waroma 10Waroma 10:13 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.
Shirikisha
Soma Waroma 10