Waroma 1:25
Waroma 1:25 Biblia Habari Njema (BHN)
Wanaubadili ukweli juu ya Mungu kwa uongo; wanaheshimu na kuabudu kiumbe badala ya Muumba mwenyewe, ambaye ndiye astahiliye sifa milele! Amina.
Shirikisha
Soma Waroma 1Waroma 1:25 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina.
Shirikisha
Soma Waroma 1