Waroma 1:23
Waroma 1:23 Biblia Habari Njema (BHN)
Wanaacha kumwabudu Mungu aishiye milele, na badala yake, wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, ndege, au wanyama watambaao.
Shirikisha
Soma Waroma 1Waroma 1:23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo.
Shirikisha
Soma Waroma 1