Ufunuo 19:6
Ufunuo 19:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa wa watu na sauti ya maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, “Asifiwe Mungu! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Nguvu ametawala!
Shirikisha
Soma Ufunuo 19Ufunuo 19:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nikasikia sauti kama sauti ya makutano mengi, na kama sauti ya maji mengi, na kama sauti ya radi yenye nguvu, ikisema, Haleluya; kwa kuwa Bwana Mungu wetu, Mwenyezi, amemiliki.
Shirikisha
Soma Ufunuo 19