Zaburi 85:8
Zaburi 85:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Hebu nisikie anachosema Mwenyezi-Mungu; maana anaahidi kuwapa watu wake amani, watu wake mwenyewe wasiporudia upuuzi wao
Shirikisha
Soma Zaburi 85Zaburi 85:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na nisikie atakavyosema Mungu BWANA, Maana atawaambia watu wake amani, Naam, na watauwa wake pia, Bali wasiurudie upumbavu tena.
Shirikisha
Soma Zaburi 85