Zaburi 68:3
Zaburi 68:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini waadilifu hufurahi ajapo Mungu, hushangilia na kuimba kwa furaha.
Shirikisha
Soma Zaburi 68Zaburi 68:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Bali wenye haki hufurahi, Na kuushangilia uso wa Mungu, Naam, hupiga kelele kwa furaha.
Shirikisha
Soma Zaburi 68