Zaburi 56:13
Zaburi 56:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana umeniokoa katika kifo, naam, umenilinda nisianguke chini; nipate kuishi mbele yako, ee Mungu, katika mwanga wa uhai.
Shirikisha
Soma Zaburi 56Zaburi 56:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana umeniponya nafsi yangu na mauti; Je! Hukuizuia miguu yangu isianguke? Ili niende mbele za Mungu Katika nuru ya walio hai.
Shirikisha
Soma Zaburi 56