Zaburi 43:5
Zaburi 43:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Mbona ninahuzunika hivyo moyoni? Kwa nini nahangaika hivyo ndani mwangu? Nitamtumainia Mungu, nitamsifu tena yeye aliye msaada wangu na Mungu wangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 43Zaburi 43:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Maana nitamsifu tena, Aliye msaada wangu, Na Mungu wangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 43