Zaburi 33:6
Zaburi 33:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Mbingu ziliumbwa kwa neno la Mwenyezi-Mungu, na vyote vilivyomo kwa pumzi ya mdomo wake.
Shirikisha
Soma Zaburi 33Zaburi 33:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.
Shirikisha
Soma Zaburi 33