Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 29:1-2 - Compare All Versions

Zaburi 29:1-2 BHN (Biblia Habari Njema)

Mpeni Mwenyezi-Mungu heshima enyi viumbe vya mbinguni, semeni Mwenyezi-Mungu ni mtukufu na mwenye nguvu. Semeni jina la Mwenyezi-Mungu ni tukufu. Mwabuduni katika mahali pake patakatifu.

Shirikisha
Zaburi 29 BHN

Zaburi 29:1-2 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Mpeni BWANA, enyi wana wa Mungu, Mpeni BWANA utukufu na nguvu; Mpeni BWANA utukufu wa jina lake; Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu.

Shirikisha
Zaburi 29 SRUV

Zaburi 29:1-2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Mpeni BWANA, enyi wana wa Mungu, Mpeni BWANA utukufu na nguvu; Mpeni BWANA utukufu wa jina lake; Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu.

Shirikisha
Zaburi 29 SUV

Zaburi 29:1-2 NEN (Neno)

Mpeni BWANA, enyi mashujaa, mpeni BWANA utukufu na nguvu. Mpeni BWANA utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni BWANA katika uzuri wa utakatifu wake.

Shirikisha
Zaburi 29 NEN