Zaburi 28:1
Zaburi 28:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Nakulilia, ee Mwenyezi-Mungu! Ewe mwamba wa usalama wangu usiniwie kama kiziwi, la sivyo kama usiponisikiliza, nitakuwa kama wale washukao shimoni kwa wafu.
Shirikisha
Soma Zaburi 28Zaburi 28:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ee BWANA, nitakuita Ewe, mwamba wangu, Usiwe kwangu kama kiziwi. Nisije nikafanana nao washukao shimoni, Ikiwa umeninyamalia.
Shirikisha
Soma Zaburi 28