Zaburi 143:2
Zaburi 143:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Usinitie hukumuni mimi mtumishi wako, maana hakuna yeyote aliye mwadilifu mbele yako.
Shirikisha
Soma Zaburi 143Zaburi 143:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki.
Shirikisha
Soma Zaburi 143