Zaburi 126:2
Zaburi 126:2 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko, Na ulimi wetu kelele za furaha. Ndipo waliposema katika mataifa, BWANA amewatendea mambo makuu.
Shirikisha
Soma Zaburi 126Zaburi 126:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Hapo tuliangua kicheko; tulishangilia kwa furaha. Nao watu wa mataifa mengine walisema: “Mwenyezi-Mungu amewatendea mambo makubwa!”
Shirikisha
Soma Zaburi 126Zaburi 126:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko, Na ulimi wetu kelele za furaha. Ndipo waliposema katika mataifa, BWANA amewatendea mambo makuu.
Shirikisha
Soma Zaburi 126