Zaburi 112:9
Zaburi 112:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini; uadilifu wake wadumu milele. Nguvu yake inatukuzwa kwa heshima.
Shirikisha
Soma Zaburi 112Zaburi 112:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.
Shirikisha
Soma Zaburi 112