Zaburi 112:10
Zaburi 112:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Watu waovu huona hayo na kuudhika; husaga meno kwa chuki na kutoweka, matazamio ya mtu mbaya huishia patupu.
Shirikisha
Soma Zaburi 112Zaburi 112:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.
Shirikisha
Soma Zaburi 112