Zaburi 103:7-8
Zaburi 103:7-8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Alimjulisha Musa njia zake, Wana wa Israeli matendo yake. BWANA amejaa huruma na neema, Haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili.
Shirikisha
Soma Zaburi 103Zaburi 103:7-8 Biblia Habari Njema (BHN)
Alimjulisha Mose mwongozo wake, aliwaonesha watu wa Israeli matendo yake. Mwenyezi-Mungu ni mwenye rehema na huruma; ni mvumilivu na mwingi wa fadhili.
Shirikisha
Soma Zaburi 103Zaburi 103:7-8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Alimjulisha Musa njia zake, Wana wa Israeli matendo yake. BWANA amejaa huruma na neema, Haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili.
Shirikisha
Soma Zaburi 103