Zaburi 101:5
Zaburi 101:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Anayemsengenya jirani nitamfutilia mbali; sitamvumilia mwenye majivuno na kiburi.
Shirikisha
Soma Zaburi 101Zaburi 101:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia.
Shirikisha
Soma Zaburi 101