Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 31:15 - Compare All Versions

Methali 31:15 BHN (Biblia Habari Njema)

Huamka kabla ya mapambazuko, akaitayarishia jamaa yake chakula, na kuwagawia kazi watumishi wake.

Shirikisha
Methali 31 BHN

Methali 31:15 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.

Shirikisha
Methali 31 SRUV

Methali 31:15 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.

Shirikisha
Methali 31 SUV

Methali 31:15 NEN (Neno)

Yeye huamka kukiwa bado giza, naye huwapa jamaa yake chakula na wajakazi wake mafungu yao.

Shirikisha
Methali 31 NEN