Methali 31:15 - Compare All Versions
Methali 31:15 BHN (Biblia Habari Njema)
Huamka kabla ya mapambazuko, akaitayarishia jamaa yake chakula, na kuwagawia kazi watumishi wake.
Shirikisha
Methali 31 BHNMethali 31:15 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.
Shirikisha
Methali 31 SRUVMethali 31:15 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.
Shirikisha
Methali 31 SUVMethali 31:15 NEN (Neno)
Yeye huamka kukiwa bado giza, naye huwapa jamaa yake chakula na wajakazi wake mafungu yao.
Shirikisha
Methali 31 NEN