Methali 22:8-9
Methali 22:8-9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma. Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.
Shirikisha
Soma Methali 22Methali 22:8-9 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Yeye aupandaye uovu huvuna taabu, nayo fimbo ya ghadhabu yake itaangamizwa. Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa kwa kuwa hushiriki chakula chake na maskini.
Shirikisha
Soma Methali 22Methali 22:8-9 Biblia Habari Njema (BHN)
Apandaye dhuluma atavuna janga; uwezo wake wa kutenda mabaya utavunjwa. Mtu mkarimu atabarikiwa, maana chakula chake humgawia maskini.
Shirikisha
Soma Methali 22Methali 22:8-9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma. Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.
Shirikisha
Soma Methali 22