Methali 14:7 - Compare All Versions
Methali 14:7 BHN (Biblia Habari Njema)
Ondoka mahali alipo mpumbavu, maana hapo alipo hamna maneno ya hekima.
Shirikisha
Methali 14 BHNMethali 14:7 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.
Shirikisha
Methali 14 SRUVMethali 14:7 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.
Shirikisha
Methali 14 SUVMethali 14:7 NEN (Neno)
Kaa mbali na mtu mpumbavu, kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.
Shirikisha
Methali 14 NEN