Wafilipi 1:4-5
Wafilipi 1:4-5 Biblia Habari Njema (BHN)
na kila ninapowaombeeni nyote, nasali kwa furaha, kwa sababu ya jinsi mlivyonisaidia katika kazi ya Injili tangu siku ile ya kwanza mpaka leo.
Shirikisha
Soma Wafilipi 1Wafilipi 1:4-5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
sikuzote kila niwaombeapo ninyi nyote nikisema sala zangu kwa furaha, kwa sababu ya ushirika wenu katika kuieneza Injili, tangu siku ile ya kwanza hata hivi leo.
Shirikisha
Soma Wafilipi 1