Hesabu 30:2
Hesabu 30:2 Biblia Habari Njema (BHN)
“Mtu akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu au akiahidi kwa kiapo na kujifunga nafsi yake kwa ahadi, ni lazima atimize ahadi yake; ni lazima atekeleze yote yale aliyotamka kwa kauli yake.
Shirikisha
Soma Hesabu 30Hesabu 30:2 Biblia Habari Njema (BHN)
“Mtu akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu au akiahidi kwa kiapo na kujifunga nafsi yake kwa ahadi, ni lazima atimize ahadi yake; ni lazima atekeleze yote yale aliyotamka kwa kauli yake.
Shirikisha
Soma Hesabu 30Hesabu 30:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mtu atakapomwekea BWANA nadhiri, au, atakapoapa kiapo ili kufunga nafsi yake kwa ahadi, asilitangue neno lake; atafanya sawasawa na hayo yote yamtokayo kinywani mwake.
Shirikisha
Soma Hesabu 30