Hesabu 12:2 - Compare All Versions
Hesabu 12:2 BHN (Biblia Habari Njema)
Wakasema, “Hivi kwani Mwenyezi-Mungu amezungumza kwa kumwagiza Mose peke yake? Je, hajazungumza nasi pia?” Mwenyezi-Mungu aliyasikia maneno hayo.
Shirikisha
Hesabu 12 BHNHesabu 12:2 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Wakasema, Je! Ni kweli BWANA amenena na Musa tu? Hakunena na sisi pia? BWANA akasikia maneno yao.
Shirikisha
Hesabu 12 SRUVHesabu 12:2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakasema, Je! Ni kweli BWANA amenena na Musa tu? Hakunena na sisi pia? BWANA akasikia maneno yao.
Shirikisha
Hesabu 12 SUVHesabu 12:2 NEN (Neno)
Waliuliza, “Je, BWANA amesema kupitia Musa peke yake? Je, hajasema kutupitia sisi pia?” Naye BWANA akasikia hili.
Shirikisha
Hesabu 12 NEN