Marko 4:38
Marko 4:38 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Yesu alikuwa katika shetri, akiwa analala juu ya mto. Wanafunzi wake wakamwamsha, wakamwambia, “Mwalimu, hujali kama tunazama?”
Shirikisha
Soma Marko 4Marko 4:38 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua, amelala juu ya mto. Basi, wanafunzi wakamwamsha na kumwambia, “Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?”
Shirikisha
Soma Marko 4