Marko 3:5
Marko 3:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako!” Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena.
Shirikisha
Soma Marko 3Marko 3:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akawakazia macho pande zote kwa hasira, akiona huzuni kwa ajili ya ugumu wa mioyo yao, akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako. Naye akaunyosha; mkono wake ukawa mzima tena.
Shirikisha
Soma Marko 3