Marko 2:14
Marko 2:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Alipokuwa akipita, akamwona Lawi mwana wa Alfayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Yesu akamwambia, “Nifuate!” Lawi akasimama, akamfuata.
Shirikisha
Soma Marko 2Marko 2:14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na alipokuwa akipita, akamwona Lawi wa Alfayo, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate. Akaondoka akamfuata.
Shirikisha
Soma Marko 2