Marko 12:33 - Compare All Versions
Marko 12:33 BHN (Biblia Habari Njema)
Na ni lazima mtu kumpenda Mungu kwa moyo wote, kwa akili yote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani yake kama anavyojipenda mwenyewe. Jambo hili ni muhimu zaidi kuliko tambiko na sadaka zote za kuteketezwa.”
Shirikisha
Marko 12 BHNMarko 12:33 SRUV (Swahili Revised Union Version)
na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia.
Shirikisha
Marko 12 SRUVMarko 12:33 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhahibu zote pia.
Shirikisha
Marko 12 SUVMarko 12:33 NEN (Neno)
Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, na kwa ufahamu wako wote, na kwa nguvu zako zote, na kumpenda jirani kama mtu anavyojipenda mwenyewe ni bora kuliko kutoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu zote.”
Shirikisha
Marko 12 NEN