Marko 12:12
Marko 12:12 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Walipotambua kuwa amesema mfano huo kwa ajili yao, wakataka kumkamata, lakini wakaogopa ule umati wa watu. Wakamwacha, wakaondoka, wakaenda zao.
Shirikisha
Soma Marko 12Marko 12:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Makuhani wakuu, waalimu wa sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. Kwa hiyo walijaribu kumtia nguvuni, lakini waliogopa umati wa watu. Basi, wakamwacha, wakaenda zao.
Shirikisha
Soma Marko 12