Marko 1:10
Marko 1:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa.
Shirikisha
Soma Marko 1Marko 1:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mara alipopanda kutoka majini, akaona mbingu zinapasuka, na Roho, kama hua, akishuka juu yake
Shirikisha
Soma Marko 1