Mathayo 9:18
Mathayo 9:18 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alipokuwa akisema hayo, ofisa mmoja Myahudi alifika, akamwinamia na kusema, “Binti yangu amekufa sasa hivi. Lakini, tafadhali twende umwekee mkono wako naye ataishi.”
Shirikisha
Soma Mathayo 9Mathayo 9:18 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Alipokuwa akiwaambia hayo, tazama, akaja kiongozi mmoja, akamsujudia, akisema, Binti yangu sasa hivi amekufa; lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, naye ataishi.
Shirikisha
Soma Mathayo 9