Mathayo 7:2 - Compare All Versions
Mathayo 7:2 BHN (Biblia Habari Njema)
kwa maana jinsi mnavyowahukumu wengine, ndivyo nanyi mtakavyohukumiwa; na kipimo kilekile mnachotumia kwa wengine ndicho Mungu atakachotumia kwenu.
Shirikisha
Mathayo 7 BHNMathayo 7:2 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.
Shirikisha
Mathayo 7 SRUVMathayo 7:2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.
Shirikisha
Mathayo 7 SUVMathayo 7:2 NEN (Neno)
Kwa maana jinsi unavyowahukumu wengine, ndivyo utakavyohukumiwa, na kwa kipimo kile upimiacho, ndicho utakachopimiwa.
Shirikisha
Mathayo 7 NEN