Mathayo 6:9-10
Mathayo 6:9-10 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: ‘Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe. Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.
Shirikisha
Soma Mathayo 6Mathayo 6:9-10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.
Shirikisha
Soma Mathayo 6