Mathayo 25:36 - Compare All Versions
Mathayo 25:36 BHN (Biblia Habari Njema)
nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.’
Shirikisha
Mathayo 25 BHNMathayo 25:36 SRUV (Swahili Revised Union Version)
nilikuwa uchi, mkanivika nilikuwa mgonjwa, mkaja kunitazama; nilikuwa kifungoni, mkanijia.
Shirikisha
Mathayo 25 SRUVMathayo 25:36 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nalikuwa uchi, mkanivika nalikuwa mgonjwa, mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia.
Shirikisha
Mathayo 25 SUVMathayo 25:36 NEN (Neno)
nilikuwa uchi mkanivisha nguo, nilikuwa mgonjwa mkanitunza, nami nilikuwa kifungoni mkaja kunitembelea.’
Shirikisha
Mathayo 25 NEN