Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 24:2 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 24:2 BHN (Biblia Habari Njema)

Yesu akawaambia, “Sawa, mnaweza kuyatazama haya yote! Kweli nawaambieni, hakuna hata jiwe moja litakalosalia hapa juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa.”

Shirikisha
Mathayo 24 BHN

Mathayo 24:2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Naye akajibu akawaambia, Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni, Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa.

Shirikisha
Mathayo 24 SUV

Mathayo 24:2 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Naye akajibu akawaambia, Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni, Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa.

Shirikisha
Mathayo 24 SRUV

Mathayo 24:2 NEN (Neno)

Ndipo Yesu akawauliza, “Je, mnayaona haya yote? Amin, nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”

Shirikisha
Mathayo 24 NEN