Mathayo 2:3 - Linganisha Matoleo Yote
Mathayo 2:3 BHN (Biblia Habari Njema)
Mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu.
Shirikisha
Mathayo 2 BHNMathayo 2:3 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye.
Shirikisha
Mathayo 2 SUVMathayo 2:3 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye.
Shirikisha
Mathayo 2 SRUVMathayo 2:3 NEN (Neno)
Mfalme Herode aliposikia jambo hili aliingiwa na hofu sana pamoja na watu wote wa Yerusalemu.
Shirikisha
Mathayo 2 NEN