Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 19:4 - Linganisha Matoleo Yote

Mathayo 19:4 BHN (Biblia Habari Njema)

Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke

Shirikisha
Mathayo 19 BHN

Mathayo 19:4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke

Shirikisha
Mathayo 19 SUV

Mathayo 19:4 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mwanamume na mwanamke

Shirikisha
Mathayo 19 SRUV

Mathayo 19:4 NEN (Neno)

Akawajibu, “Je, hamkusoma kwamba hapo mwanzo Muumba aliwaumba mwanaume na mwanamke

Shirikisha
Mathayo 19 NEN