Mathayo 12:29
Mathayo 12:29 Biblia Habari Njema (BHN)
“Au, anawezaje mtu kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyanganya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza kumnyanganya mali yake.
Shirikisha
Soma Mathayo 12Mathayo 12:29 Biblia Habari Njema (BHN)
“Au, anawezaje mtu kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyanganya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza kumnyanganya mali yake.
Shirikisha
Soma Mathayo 12Mathayo 12:29 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake.
Shirikisha
Soma Mathayo 12